Huku mzozo wa kusafirishwa gesi kutoka Mtwara hadi Dar es Salaam, Tanzania, ukizidi, baadhi ya wachambuzi wanaungana na wakaazi wa mikoa ya kusini wakisema wana madai ya msingi kutaka kufaidika na mapato ya gesi hiyo.
https://p.dw.com/p/17DeY
Matangazo
Amina Abubakar anazungumza na Gwandumi Mwakatobe ambaye ni mwandishi na pia mchambuzi nchini Tanzania.