Dunia inaendelea kukabiliana na janga la COVID-19 ambalo limeshaangamiza maisha ya maelfu ya binaadamu, mamilioni wakiwa wameambukizwa na mamilioni kupoteza kazi zao kutokana na chumi kufungwa ulimwenguni. Je, mwanaadamu amejifunza nini panapohusika nafasi yake kwenye sayari hii ya dunia, ambayo amekuwa mshiriki mkuu wa kuichafuwa?