SiasaMatangazo ya mchana ya DW Kiswahili 22.02.2020To play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaSK2 / S02S22.02.202022 Februari 2020Maambukizi ya virusi vya corona vyasambaa zaidi Korea Kusini na kwengineko ulimwenguni. Iran imeanza kuhesabu kura kufuatia uchaguzi wa Ijumaa. Na, Serikali ya umoja wa kitaifa Sudan Kusini yatarajiwa kuundwa Jumamosi.https://p.dw.com/p/3YBdYMatangazo