1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Mchana, saa 7:00 (Afrika Mashariki)

18 Aprili 2021

Kwanza ni mukhtasari wake msomaji ni Jacob Safari//Ujerumani yawakumbuka watu 80,000 waliofariki kutokana na Covid-19//Jamhuri ya Czech kuijadili Urusi na nchi za Umoja wa Ulaya//Na Marekani na China zadhamiria kushirikiana katika masuala ya tabia nchi.

https://p.dw.com/p/3sBre