Vikosi vya waasi wa Houthi vyaanza kuondoka Hodeidah katika makubaliano ya Umoja wa mataifa huko Yemen//Wataalam wa Umoja wa Mataifa wasema mbabe mmoja wa kivita nchini Congo aliongoza makundi ya ubakaji katika mji wa Kivu kusini//Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amtembelea rais mteule wa Brazil huko Rio de Janeiro.