Maandamano nchini Pakistan hatimaye yafikia mwisho baada ya serikali kutangaza makubaliano na Waislamu wenye msimamo mkali//Korea Kaskazini yatishia kurejelea mpango wake wa nyuklia iwapo vikwazo vilivyowekwa na Marekani dhidi yake havitaondolewa//Wakristo wa Koptik wajiandaa kuwazika waumini wao waliouwawa kwa kupigwa risasi na wanamgambo wa Kiislamu nchini Misri