Aina mpya ya kirusi cha corona kinachoaminka kusambaa kwa kasi, kimeripotiwa kwa mara ya kwanza nchini Marekani na Amerika ya Kusini// Waasi wa kundi la ADF kutoka Uganda wameushambilia mji mdogo wa Mutwanga// Wachunguzi wa umma nchini Urusi wamesema wamefungua mashtaka mapya ya jinai dhidi ya Alexei Navalny