Jumuiya ya kujihami ya NATO mjini Bucharest/ Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron anatarajia kukutana na rais Joe Biden/ Vikosi vya Urusi vinajaribu kusonga mbele katika mikoa kadhaa ya Ukraine/ Mapambano makali yameripotiwa usiku wa kuamkia leo nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo/ Michuano ya kombe la dunia Qatar 2022