Afrika Kusini yapinga vikali hatua ya kamisheni ya Umoja wa Afrika/ IGAD, wamepitisha maazimio ya pamoja ya kumwezesha mwanamke wa Kiafrika kuwa na haki ya kumiliki ardhi/Zanzibar yapambana dhidi ya udhalilishaji / NATO yaanza kutoa mafunzo ya kijeshi kwa vikosi maalum vya Afghanistan nchini Uturuki/ Waziri mkuu mpya wa Haiti atoa ahadi ya uchaguzi wa haraka