Umoja wa Mataifa wasema mkataba wa kupiga marufuku silaha za nyuklia utaanza kutekelezwa baada ya nchi 50 kuuidhinisha. Katika kampeni za uchaguzi wa Marekani Barack Obama amkosoa Donald Trump kwa kushindwa kudhibiti ugonjwa wa COVID-19 .Na, kiongozi wa upinzani ashinda uchaguzi wa rais visiwani Shelisheli.