Rais wa Urusi Vladimir Putin ameagiza vikosi vyake kusitisha mipango ya kushambulia kiwanda cha Azovstal/ Rais wa Jamhuri ya Kidemokirasia ya Congo Felix Tshisekedi yuko jijini Nairobi Kenya/Hamas yasema bado mapambano yanaendelea Gaza/Macron aimarisha uongozi wake katika mjadala wa televisheni/ Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson awasili nchini India