Kongo: Watu 10 wajeruhiwa,Goma/ Kongo: Hakuna afisa wa polisi ya Rwanda aliye kwenye ardhi ya Kongo/ Ethiopia: Jeshi la nchi hiyo limechukua tena udhibiti wa mji wa Lalibela/ Tanzania: Asilimia 80 ya watanzania waliopata virusi vya Corona hawakufika hospitali/ Maelfu waandamana Sudan kupinga utawala wa kijeshi.