Taliban imesema kuwa iko tayari kuwashirikisha wanawake katika serikali/ Marekani yatetea uamuzi wake wa kuwaondoa wanajeshi kutoka Afghanistan/ Ni asilimia 33 ya waalimu nchini Kenya pekee waliopata chanjo/ IAEA limesema Iran inaendelea kurutubisha madini ya kuwezesha kuundwa silaha za nyuklia.