Amnesty; Wakimbizi wapitia unyanyasaji mbaya Libya/ Tanzania: Mfumo mpya wa tozo kwa wale wanaotumia simu za mkononi/ Merkel kukutana na Biden katika ziara yake ya mwisho Marekani/ Rais wa Afghanistan, Ashraf Ghani leo hii anakutana na viongozi wa kikanda nchini Uzebekistan/ Uporaji nchini Afrika Kusini, sababu hasa ni ipi?