Afrika Kusini: Zuma aanza kutumikia kifungo cha miezi 15 jela/ Washukiwa 4 wa mauji ya rais wauwawa Haiti/ Zaidi ya familia 450 zimeyakimbia makaazi yao eneo la Saku jimboni Marsabit nchini Kenya/ Tanzania: Wasafiri walalamikia gharama kubwa ya upimaji virusi vya corona.