Kongo: Yaongeza muda wa ziada kwa hali ya dharura/ Tanzania: Viongozi wa juu serikalini wakijitokeza kupewa chanjo/ Lebanon yanaadhimisha mwaka mmoja wa kumbukumbu ya maafayaliyosababishwa na mlipuko/ Belarus: Vitaly Shishov amepatikana akiwa ananing'inia kwenye mti/ Afghanistan: Shambulizi la bomu lililomlenga waziri