Tanzania: Rais Samia Suluhu Hassan aanza ziara yake ya kwanza nchini Rwanda/ Kongo: Kanisa Katoliki limekuwa katika mashambulio ya waandamanaji/ Makomando wa Afghanistan wapambana na Taliban Herat/ Kiongozi wa serikali ya kijeshi ya Myanmar amejitangaza kuwa waziri mkuu/ Mataifa yameanza kuripoti kupungua kwa maambukizi mapya virusi vya corona.