Marekani, Iran zatofautiana katika kuyafufua makubaliano ya mpango wa nyuklia/ Xi Jinping: China haiwezi kurudi nyuma/Tanzania: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa atoa muongozo kwa wakuu wa mikoa na wilaya kutowaajiri walinzi wa binafsi kutoka mitaani /HRW: lataka vikosi vya usalama Eswatini kuheshimu haki za raia /Waasi wa ADF wauwa watu 10 Beni nchini Kongo