1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Jioni saa 12:00 (Afrika Mashariki)

25 Desemba 2018

Watu 27 waaga dunia baada ya Lori na basi kugongana nchini Kongo//Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis atoa wito wa amani Yemen, Syria na maeneo mengine yenye mizozo duniani//Rais wa Uturuki Reccep Tayyip Erdogan asema atakutana na Rais wa Urusi hivi karibuni

https://p.dw.com/p/3Ad3i