Umoja wa Ulaya wamuita mjumbe wake wa nchini Tanzania kwa mazungumzo juu ya hali katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki//Kiongozi Mkuu wa Iran asema vikwazo vya Marekani vimeifanya Iran kuwa nchi yenye kujitegemea zaidi//Mumewe Asia Bibi mwanamke wa Kikristo aliyeondolewa mashtaka na mahakama ya juu Pakistan kwa madai ya kukufuru Uislamu ana hofu kwamba maisha ya mkewe yako hatarani