1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Jioni saa 12:00 (Afrika Mashariki)

5 Mei 2018

Kiongozi wa upinzani nchini Urusi Alexei Navalny amezuiliwa na polisi leo katika maandamano mjini Moscow siku mbili kabla kuapishwa kwa muhula wa nne kwa Vladimir Putin kama rais wa Urusi//Maelfu ya watu wameandamana leo katikati ya mji wa Paris Ufaransa wakipinga mabadiliko yaliyofanywa na Rais Emmanuel Macron mwaka mmoja baada ya kuingia madarakani.

https://p.dw.com/p/2xEzk