1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Jioni 30.09.2022

SK2 / S02S30 Septemba 2022

Rais wa Urusi Vladimir Putin amesaini hati za kuichukua rasmi mikoa minne ya Ukraine /Umoja wa Ulaya wachukua hatua kukabiliana na kupanda kwa bei ya nishati/Milio ya risasi yasikika nje ya makazi ya rais Burkina Faso/Mahakama ya jumuiya ya Afrika Mashariki yatupilia mabli maombi ya wananchi wa jamii ya wafugaji ya Maasai/Kenya : Wagombea wa ugavana kuwa na shahada au digrii

https://p.dw.com/p/4Hbln