Vurugu zinaendelea kugubiga kipindi cha kampeni za uchaguzi mkuu nchini Uganda// Zaidi ya watu 700 wamekufa wakiwa mikononi mwa maafisa wa polisi nchini Kenya tangu mwaka 2007// Wanadiplomasia na maafisa wa ujasusi wa Misri jana wamekutana na maafisa wa serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya iliyoko mjini Tripoli.