Rais wa Kenya William Ruto atangaza majina ya baraza lake jipya la mawaziri/Serikali ya Uganda yatangaza kuwa watu walioambukiwa homa ya Ebola wameongezeka na kupindukia watu 20 /Matokeo ya awali ya kile kinachoitwa kura za maoni zilizoandaliwa na Urusi kwenye majimbo manne ya Ukraine/Zaidi ya 75 waandamanaji wauawa Iran/Hali ni ya kukata tamaa Haiti, UN yaambiwa