Kongo: Mapigano makali wilaya za Rutshuru na Nyiragongo/ Mapigano inchini Congo yaendelea kwa muda wa miezi miwili sasa/ Inchi za Magharibi zimeendelea kugawika kuhusu kiwango cha uungaji mkono kwa Ukraine/ Ndege za mashambuzi za Urusi na China zafanya doria ya pamoja/ Mshindi wa tunzo ya Nobel ya Fasihi (2021) Professa Gurnah ahudhuria kongamano BAKIZA