1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Jioni 10.08.2021

SK2 / S02S10 Agosti 2021

Makubaliano kati ya ACT na Rais wa Zanzibar yameanza kuwekwa hadharani mbele ya umma/ Kundi la vijana launda chama Mwaka mmoja kabla ya uchaguzi mkuu nchini Kenya/ Tanzania: CHADEMA leo hii kimefanya mkutano na waandishi wa habari/ Marekani imeapa kulitenga kabisa kundi la Taliban/ Kiasi cha watu milioni moja na lake nne wanahitaji misaada ya kiutu kutokana na ukame nchini Kenya

https://p.dw.com/p/3yoX4