Wajumbe wa kigeni wameongeza juhudi za kumaliza vita vilivyodumu kwa mwaka mmoja sasa nchini Ethiopia/ Mahakama Sudan yaamuru huduma za Intaneti kurejeshwa/ Mgogoro wa Umoja wa Ulaya na Belarus unazidi kuongezeka/ Idadi ya visa vya maambukizi ya janga la Corona duniani imepindukia milioni 250/Tanzania: TMA imeonya kuhusu kupanda kwa kiwango cha joto