Juhudi za kuwaondoa maelfu ya watu waliokwama Ukraine/ Tanzania ambayo ilishagundua gesi asilia, inaweza kuchukua nafasi hii na kuuza gesi yake asilia kimataifa?/ Miaka 4 ya makubaliano kati ya Kenyatta na Raila/ Kenya: Miaka minne sasa tangu salamu hizo za kheri / Mashambulizi ya ndege yamesababisha vifo vya raia 304 katika jimbo la Tigray nchini Ethiopia tangu mwezi Novemba