Tanzania, Rais Samia aongoza mkutano wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Kusini mwa Afrika, SADC/ Uganda: Shule kufungwa mapema kutokana na mripuko wa Ebola /Rais wa zamani wa visiwa vya Comoro Ahmed Abdallah Sambi huenda akafikishwa mahakamani/Marekani: Rais wa zamani Donald Trump amerejea katika siasa/Ukraine imeshikilia msimamo wake mkali juu ya uwezekano wa mazungumzo na Urusi