Afrika Kusini: Jacob Zuma anaweza kupata msamaha baada ya kama miezi minne/ Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis alaani kitendo cha mauwaji ya Rais wa Haiti Jovenel Moise /EU yaikosoa Hungary kuhusu sheria ya mashoga/ Tanzania: wasafiri walalamikia gharama kubwa ya upimaji virusi vya corona/ Bwawa kubwa la utata la Ethiopia