1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya jioni 07.10.2018

Yusra Buwayhid
7 Oktoba 2018

Ghasia zazuka katika uchaguzi wa rais nchini Cameroon, huku rais wa muda mrefu Paul Biya akitarajiwa kushinda tena kwa muhula wa saba. Kiongozi wa Korea Kaskazini akubali kufanya mkutano wa pili wa kilele na Marekani. Na, watu 11 wamepoteza maisha katika tetemeko la ardhi lilopiga kisiwa cha Haiti.

https://p.dw.com/p/368GL