China imesema kuendelea kwa luteka za kijeshi katika maeneo ya bahari yanayokizunguka kisiwa cha Taiwan&/ Siku nne kabla ya kufanyika uchaguzi mkuu wa Kenya/ Tanzania Jeshi limekanusha taarifa kuwa wanajeshi wa kikosi cha MUNISCO walikamatwa/ Mjumbe wa Marekani Linda Thomas-Greenfield, aanza ziara yake barani Afrika/ Antonio Guterres ameyakosoa makampuni ya mafuta na gesi kwa "ulafi wa ajabu"