Kasi ya maambukizi ya COVID-19 Uhispania imepungua huku serikali ikirefusha hatua za kuifungia nchi. Waziri wa Maendeleo wa Ujerumani Gerd Müller amependekeza kuundwa mfumo wa pamoja ulimwenguni wa kupambana na janga la ugonjwa wa COVID-19.
Na Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Francis ametoa mchango wa euro 60,000 kuisaidia hospitali ya mji wa Bergamo.