Kansela wa Ujerumani Angela Merkel amefanya mazungumzo wa Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson./Congo: Rais Tshisekedi asikitika na hukumu ya kifungo cha miaka 13 jela kwa Vital Kamerhe/Marekani: Usafirisha haramu wa watu wanawiri kufuatia COVID-19/Umoja wa Mataifa wataka San Suu Kyi kuwachiliwa huru/Mechi za kwanza za robo fainali za mashindano ya mataifa ya Ulaya EURO 2020 zinachezwa hii leo