Rais Reccep Tayyip Erdogan wa Uturuki atangaza operesheni ya kijeshi kaskazini mwa Syria//Rais wa Marekani Donald Trump atuma rambirambi kwa familia za waliouwawa na mtu aliyejihami kwa bunduki Marekani//Na Watu kumi na saba wafariki dunia mjini Cairo kufuatia mripuko katikati mwa mji huo mkuu.