Mwanasheria Mkuu Marekani William Barr hakulitii bunge kwa kutowasilisha ripoti ya Mueller//Baraza kuu la Umoja wa Ulaya laikosoa Ujerumani kuhusu mateso dhidi ya wakimbizi//Na Timu mbili za England Liverpool na Tottenham Hotspur kucheza fainali ya Ligi ya Vilabu Bingwa Ulaya.