1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Asubuhi, saa 12:08 (Afrika Mashariki)

5 Desemba 2018

Viongozi wa Republican Marekani waamini Mohammed Bin Salman alihusika katika mauaji ya mwandishi habari Jama Khashoggi//Wahamiaji 15 wafariki dunia na wengine kumi kunusurika kifo katika pwani ya Libya//Jeshi la Israel laharibu handaki la kundi la kigaidi la Hezbollah katika mpaka wake na Lebanon.

https://p.dw.com/p/39U7I