Mkutano wa wakuu wa nchi na serikali za Jumuiya ya Madola umeingia siku yake ya pili hii leo mjini Kigali, nchini Rwanda.
Kansela Olaf Scholz kuwakaribisha viongozi wakuu wa nchi tajiri kabisa kiviwanda duniani za kundi la G7 katika mkutano wa kilele wa mwaka huu.
Nchini Ukraine, wanajeshi wa Urusi waliokamatwa vitani wanashikiliwa kwenye magereza.