Rais wa Zanzibar Dk Hussein Ali Mwinyi amewataka wananchi wa Zanzibar kujiandaa kisaikolojia na kuvumilia hatua kali atakazozichukuwa kupambana na ubadhirifu udhalilishaji wa watoto, na ulaji rushwa// Uingereza inawaonya wafanyabishara kuhusu kipindi cha msukosuko wa mpito baada ya kupatikana mkataba wa kibiashara wa baada ya kujitoa katika Umoja wa Ulaya.