Mkutano wa NATO wakamilika mjini Madrid./ DRC: Mabaki ya jino la Patrice Emery Lumumba yazikwa/ Tanzania: Mkutano mkuu wa PALU,wafanyika jijini Arusha/ Watumiaji wa mitandao ya kijamii nchini Kenya wanakabiliwa na taarifa potofu za kisiasa/ Rwanda, wakimbizi wasubiri maombi ya vibali vyao yafanyiwe kazi.