1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya asubuhi 30.05.2021

30 Mei 2021

Baadhi ya waakazi wa ukanda wa ziwa Tanganyika katika mkoa ya Kigoma wanahangaika kufuatia kina cha maji na maji kusambaa hadi katika maakazi yao, Makala ya Mtu na Mazingira inaangazia kwa kina kadhia wanayoipitia wakaazi hao. Vile vile utasikia makala ya Utamaduni wa ndoa za visiwani Zanzibar.

https://p.dw.com/p/3uAni