Tunisia limetumbukia kwenye mgogoro wa kisiasa/ Waafghan wengi wanatafuta njia ya kuikimbia nchi yao/ Marekani itaondoa wanajeshi wake nchini Iraq/ Wanasanyasi wamesema uchumi wa dunia umeathiri kwa kiwango kikubwa uhai na dunia kwa jumla/ Hatimaye chanjo ya Covid-19 imefika milangoni mwa Watanzania