Mkutano wa AU mjini Malabo Equatorial Guinea/ Mashambulizi yaendelea kwenye mikoa ya Kivu ya Kaskazini na Ituri/ Licha ya somalia kupata uongozi mpya utawala wa nchi hiyo ya pembe ya Africa unaendelea kupokea vitisho/Wakimbizi milioni 3.5 wa Syria walioko nchini Uturuki wageuka kuwa vikaragosi wa siasa za Uturuki/ Mashirika ya misaada yatahadharisha juu ya vita vya maji nchini Burkina Faso