1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Asubuhi 25.05.2022

TSA / S08S25 Mei 2022

Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz afanya ziara yake ya kwanza barani Afrika/ HRW limezitaka nchi wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) kushughulikia masuala ya haki za binadamu/ Zimbabwe yataka kuruhusiwa kuuza akiba yake ya pembe za ndovu zilizokamatwa/ Kongo: Mvutano wa kisiasa unazidi kuongezeka nchini/ Karibia miezi miwili ya makubaliano ya kusitisha mapigano nchini Yemen.

https://p.dw.com/p/4BpQC