Taliban wanashika hatamu za serikali nchini Afghanistan/ Mzozo wa kijeshi kati ya serikali kuu ya Ethiopia na wapiganaji wajiitao Jeshi la Ulinzi wa Tigray/ Nchini Yemen janga la COVID-19 limeendelea kuangamiza watu/ Tanzania: wanawake wanahofia mabadiliko katika miili yao hasa katika mfumo wa uzazi kutokana na chanjo ya COVID-19