Angela Merkel kukutana na Biden katika ziara yake ya mwisho Marekani/ Aliyekuwa rais wa Marekani George Bush, anahofia kuhusu hatima ya wanawake nchini Afghanistan/ Ukamataji wa kikabila Tigray/ Uganda:Kundi la waasi wa ADF laendeleza mauaji/ Liberia Jenerali Butt Naked aokoa watoto waliotumikishwa vitani.