Wazambia wapiga kura katika uchaguzi wa rais/ Afghanistan: Wanamgambo wa Taliban wameongeza kasi ya mashambulizi/ Watoto wa mitaani nchini Rwanda wamepaza sauti wakiomba msaada kwa ajili ya mahitaji muhimu/ Kenya: Vijana bado wanakabiliwa na changamoto kubwa ya kupata ufadhili wa kifedha/ Idadi ya watu wanaondoka Tunisia kwa njia haramu imekuwa ikiongezeka