Mwaka mmoja umetimia tangu kutokea mripuko mkubwa kwenye bandari ya Beirut nchini Lebanon/ Changamoto za kiuchumi nchini Tunisia/ Watu wenye misimamo mikali watadhibiti sehemu zote za serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran/Takriban wasichana 70 kutoka Uganda wametorokea Kenya kuepuka kufanyiwa ukeketaji/ Patience Dositha alikuwa na miezi mitatu alipofiwa na wazazi