Nchini Brazil wapiga kura wataelekea vituoni kupiga kura jumapili katika uchaguzi wa rais//Mawaziri wa mazingira wa takriban nchi 50 watakusanyika siku ya Jumatatu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwa mazungumzo ya kuandaa Mkutano wa hali ya hewa wa COP27.