Human Rights Watch: Serikali ya Burundi inawaweka raia wake katika hatari ya kifo kwa kuzuia uhuru wa kutoa taarifa sahihi kuhusu gonjwa la COVID -19/ Nigeria: Watu zaidi ya milioni 20 katika miji ya Lagos na Abuja wamewekwa kwenye karantini / Jopo kazi la mchakato wa maridhiano nchini Kenya, BBI, limeifunga milango ya kupokea maoni ya wananchi.